Pageviews all the time

Rwanda- Tanzania: Ese ibivugwa ko Kagame yitegura kugaba ibitero kuri Tanzania byaba ari ukuri?

Ikarita y'Umuryango w'Afrika y'Uburasirazuba( EAC)
Nkuko twabivuze inyandiko ya Mbangurunuka yaje isanga turiho dutegura indi dushingiye ku byatangajwe n'ikinyamakuru gikomeye cyo muri Tanzania cyitwa Mtanzania cyo kuwa 5/2/2014.
Kuri iyi tariki tuvuze hejuru, iki kinyamakuru cyasohoye inyandiko yerekana ko Leta ya Kagame ikomeje gukoresha itangazamkuru ryayo ngo isebye Leta ya Tanzania.

Mtanzania yavuze ibyo ihereye ku binyoma byari bimaze gutangazwa na The New Times Rwanda yemezaga ko ngo Kikwete, Perezida wa Tanzania ngo yagiranye imishyikirano na bamwe mu barwanya leta ya Kagame, ndetse ngo na FDLR. Iki kinyamakuru cyanditse cyemeza ko ngo Minisitriri w'ububanyi n'amahanga wa Tanzania yabonanye na bamwe mu bayobozi b'ishyaka RNC rirwanya Kagame, barimo Dr  Theogene Rudasingwa na Gerivasi Condo. Uyu mubonano ngo wabereye i Washington muri USA ngo niwo watumye Kikwete abonana n'aba bagabo tuvuze hejuru kuri 24/1/2014.  Mtanzania ibajije Dr Rudasingwa niba ibi byarabaye, yayisubije aho yari muri Afrika y'Epfo ko ayo ari amayeri ya Kagame yo gushaka gufungisha abatavuga rumwe nawe, ahakana ko ibyo bitabaye.

Nkuko Kagame asanzwe abigenza  rero iyo afitanye ibibazo na kimwe mu bihugu byo mu karere, ikintu kihutirwa akora ni uguharabika mu itangazamakuru rye ndetse n'iryo hanze agurira mu guharabika abayobozi b'icyo gihugu, ari nako yiyegereza akoresheje guhonga abatavuga rumwe n'abo bayobozi.Ibi akaba yarabikoze muri Kenya igihe yari ahanganye na Perezida waho Toritichi Arap Moi; arongera arabikora muri Uganda igihe yari afitanye ibibazo na Museveni ingabo zabo zimaze kurwanira muri Kisangani muri RDCongo.

Nkuko urubuga rwanyu mukunda cyane SHIKAMA rudasiba kubibagezaho, ibi akenshi Kagame abikora yizeza abatavuga rumwe na leta imurwanya ko azabaha ku mafranga y'umutungo yasahuye muri RDCongo bagatsinda amatora. Nyamara abenshi iyo bitabahiriye nka Kiiza Besigye, abatera umugongo akongera agakorana n'uwo bombi barwanyaga nkuko bimeze ubu hagati ya Kagame na Kaguta M7 we na Besigye barwanyaga mu myaka yashize. Ubu urukundo rurakeba hagati ya Kagame na Kaguta, Kiiza yaburiwe na Kagame ko natareka kurwanya M7 bazamuviraho inda imwe.

Mu gihe Tanzania na Rwanda ya Kagame biriho biterana amagambo hakoreshejwe itangazamakuru, Kagame nawe ubu biragaragara ko yamaze kwigarurira ishyaka ritavuga rumwe n'iriri ku butegetsi muri Tanzania ariryo Chama cha Demokrasi na Maendeleo, CHADEMA mu magambo ahinnye. Ibi bigaragarira mu itangazamakuru rya kagame nka Igihe.com aho usanga bikoma Kikwete ari nako basingiza akantu kose kavuzwe n'iri shyaka. Si ibyo gusa kandi kuko Bwana Ezekiah Wenje uhagarariye komisiyo y'ububanyi n'amahanga mu Nteko Nshingamategeko ya Tanzania, akaba ava mu ishyaka rya CHADEMA ejobundi aherutse kwikoma TWAGIRAMUNGU F, Rukokoma; si ukwisereranga akura agahu ku nnyo.

Ibi ngo yabitewe n'uko Rukokoma yiyemereye imbere y'ishyaka rye RDI mu nama yaberaga mu Bubiligi ko yasuye Tanzania. Kuri we ngo Rukokoma yakoze icyaha kimwe bita sakililego agomba kuza muri Tanzania agasabira imbabazi. Kandi akabonamo Twagiramungu ngo umuntu ukunda inyungu ze cyane.
"Abantu nka Twagiramungu nibo batera ibibazo mu nyungu zabo bwite. Turasaba ko aza kanyomoza ibyo yavuzze ndetse akanasaba n'imbabazi."
Menje kandi arasanga ngo Komisiyo ayoboye igomba guterana ikiga ukuntu intambara icucumba hagati ya Tanzania n'U Rwanda yahagarara, kuko ngo abaturage aribo bazahanegekera mu gihe Kikwete azaba arinzwe n'imbunda!
"Twebwe CHADEMA,ntabwo dushaka ko Rwanda yajya mu ntambara na Tanzania. Intambara ni intamabara n'iyo yaba ntoya. Yangiza ubukungu igahitana n'abantu. Tuzi yuko ibaye none, Perezida Kikwete ntacyo yaba kuko yaba arinzwe n'imbunda, abahatikirira ni abaturage"

Urubuga rwanyu SHIKAMA rwagerageje kumenya icyo Abatanzania bavuga kuri iri hangana hagati ya Kagame na Tanzania.

Dore urubuga rwitwa Mpekuzi Huru rusomwa cyane n'urubyiruko icyo ruvuga ku nkuru ya Mtanzania:
Eradius Katigano aragira ati : " U rwanda ruranuka amaraso kubera irondakoko n'ivangura rihakorerwa.ubwibone bwabo nkuko amateka abitubwira, nibwo butuma bumva ko ari indobanure, ibi bigatera impagarara z'urudaca none bagiye no gusenya EAC.
_______________
uwitwa Masseri Yuyu aravuga ati: " Ndumva twarananiwe kugira icyo dukora, reka byibuze turinde imipaka yacu.Tanzania ni Papa ni bite ko mbona mama yitera hejuru n'ivogonyo ryinshi nkaba ndeba ashaka gutegeka papa?"
_________________
Wahid Yislam aragira ati:" Wenje reka ibyo bitantamaka uvuga. kuva uwo muntu yajya ku butegetsi mu Rwanda igihugu cye cyahuye n'urusobe rw'ibibazo.Ukomeje utyo, CHADEMA wayishyira mu kaga..Ejo yari Dr Slaa none ni wowe, mumureke ni igikoresho cya Museveni.
_________________
christopher Philemon aragira ati :" Ni ukuri Kagame anuka amaraso ariko azamugaruka "
_________________
Jayson's Dady aravuga:" Kagame yugarijwe n'ibibazo"
_________________
Ibrahim Mshauri :" Ese burya Wenje hariho igihe agira ubwenge!"
_________________
Issa Machumi: " Kagame nta bwenge agira ni ukuri"

Abasomyi ba MTANZANIA barabivugaho iki?

Uwiyita Joseph aragira ati: " Tanzania ni igihugu cy'amahoro. Reka dukomeze twibere mu mahoro. Perezida wacu turamusaba kutemera ko Kagame amushora mu ntambara"
________________________
Petro wa Petro: "Inyeshyamba zo mu Rwanda zifite ubushoobozi bwo gutembera hirya no hino. Zifashwa na bimwe mu bihugu byo muri Afrika n'Uburaya. Tanzania yirinde kubeshyuza gusa ahubwo irinde imipaka yayo neza.
________________________
Kachala aragira ati:" Turabizi Kagame ni Gasurantambara.ahungabanya umutekano w'abaturanyi mu nyungu ze bwite.Ndasaba Leta ya Tanzania kuba maso ndetse n'impunzi z'abanyarwanda ziri hano iwacu. twabonye ukuntu yica bunyamaswa abahoze ari ibyegera bye. Uyu si umuntu wo kwiringira"
_________________________________________________________________________________
                                               ________________________

Umwanzuro
Ibi byose tubonye hejuru rero bikaba bitwereka ko ibyo Mbangurunuka avuga mu byerekeranye n'intambara yo mu Karere ari ukuri. Kagame azi ko iminsi ye ibaze ku butegetsi, igisigaye kuri we ni ukohereza abasoda be gupfira ku rugamba abasigaye bakaba barangaye gato bityo akarya kabiri! Ni nako kandi azaba asaba abaturage kwikokora ngo bafashe abasoda babo bari ku rugamba, ari nako acunga umuntu wese ushobora gukopfora mu gihugu avuga nka demokarasi. Bityo, iminsi ikaba yicuma kuri kagame na nyiramongi mu Rugwiro,  ngo aho gupfa none wapfa ejo, aka wa mugani.

Nkuko ikinyamakuru Mtanzania giheruka kubitangaza ku cyumweru tariki ya 9 Gashyantare uyu mwaka turimo, Kagame ashobora kuzahabwa isomo na Tanzania nk'iryo yahaye Idi Amin DADA wa Uganda muri 1978 igihe yateraga intara ya Kagera ( uburengerazuba bwa Tanzania). Tanzania yari iyobowe na Nyerere uri mu bashyize FPR ku buutegetsi yakubise Idi Amin, iramukurikira n'i Kampala kugeza ameneshejwe agahungira kwa Kadafi muri Libya.

Dore uko Kikwete aherutse kubitangaza umwaka ushize yasuye iyi ntara aburira Kagame wariho amutuka mu binyamakuru ngo yarongoye umuhutukazi mwene wabo na Kinani:" Twakurikiye uwaduteye ku butaka bwe, dusenya imijyi ya MBARARA na MASAKA twihimura kubera  ibyacu yari yasenye ngo Abagande nabo bazaruhe bubaka; tujya Kampala turayijagajaga, dusaka INZOKA Amin, mpaka tuyimenesheje"

Twe muri SHIKAMA tukaba tuburira abakiziritse  ku mwicanyi Kagame ko bagomba kumva ko  igikombe bariho badutegurira kunyweraho gikarishye nka vino ishaje. Tukaba tugiye guhaguruka n'iyonka maze tukabamaganira kure kugeza bahagaritse ubukunguzi bwabo. Iki gikombe nibo bagomba kukinyweraho bonyine n'urubyaro rwabo kuko aribo bariho bagitegura.

NKUSI Yozefu
Shikama Ye 
SKUD


Soma inkuru ya Mtanzania hasi aha.

______________________________________________________________________________

MTANZANIA 5/2/2014

Kagame azidi kuichokonoa Tanzania


Rais Paul Kagame wa Rwanda

*Sasa amgeukia Membe

*Chadema nayo yajitosa 

GAZETI la The New Times Rwanda ambalo linatajwa kuwa mshirika wa karibu wa Serikali ya Rais Paul Kagame, nalo limeingia kwenye propaganda za kuwachafua baadhi ya viongozi wa Tanzania.


Baadhi ya vyombo vya habari vya nchi hiyo, vimekuwa vikitumika kumchafua Rais Jakaya Kikwete, ambapo wiki iliyopita gazeti la News of Rwanda liliandika taarifa iliyodai kuwa Rais wa Tanzania amekutana na wapinzani wa Rais Kagame.



Hata hivyo taarifa hiyo ilikanushwa vikali na Serikali ya Tanzania, ambapo iliweka wazi kwamba Rais Kikwete hajawahi kukutana na watu hao waliotajwa na News of Rwanda na kwamba siku zilizotajwa kuwa rais alikutana na watu hao hakuwepo nchini.



Wakati Tanzania ikikemea propaganda hizo chafu, wiki hii gazeti la The New Times Rwanda, limehamishia uchokozi kwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Tanzania, Bernard Membe, kwamba alikutana kwa siri na mmoja wa waasi wa nchi hiyo alipokuwa jijini Washington DC nchini Marekani.



Gazeti hilo katika toleo lake la juzi, liliandika kuwa Membe alikutana na mmoja wa waanzilishi wa Chama cha Upinzani nchini humo cha Rwanda National Congress (RNC), Dk. Theogene Rudasingwa jijini Washington DC mwishoni mwa mwaka jana.



Habari iliyoandikwa na gazeti hilo, imebainisha kuwa kikao hicho cha Membe na Dk. Rudasingwa kilikuwa na lengo la kumwomba Membe amshawishi Rais Kikwete aonane na waasi hao kwa ajili ya kufanya mazungumzo.



Gazeti hilo lilidai kuwa limepata taarifa hizo kutoka kwenye vyanzo vyake vya habari vilivyokuwapo nchini Marekani mwaka jana, ambapo Membe alikwenda kuhudhuria mkutano ambao haukuwekwa wazi.



Ilielezwa kuwa baada ya Membe kuonana na kiongozi huyo, Januari 23 mwaka huu viongozi wa RNC walifanikiwa kukutana na Rais Kikwete.


Waliotajwa kukutana na Rais Kikwete ni Mratibu wa chama hicho, Dk. Rudasingwa na Mshauri wake, Condo Gervais.



Kabla ya gazeti hili kuandika uzushi huu, gazeti la News of Rwanda lilidai kuwa kundi la waasi la FDLR lilifanikiwa kukutana na Rais Kikwete nchini Tanzania na kwamba waliwakilishwa na Katibu Mtendaji wake, Luteni Kanali Wilson Irategeka na Kanali Hamadi ambaye ni kamanda wa operesheni.



Siku chache baadaye, mtandao wa AllAfrika uliandika kwenye ukurasa wake taarifa zilizokuwa zikimkariri, Faustin Twagiramungu akikiri kufika Tanzania na walionana na Rais Kikwete.



Baada ya uzushi huo gazeti dada la hili, MTANZANIA Jumapili lilifanikiwa kufanya mazungumzo na Twagiramungu ambaye ni Rais wa Chama cha RDI-Rwanda (Rwiz Party of Rwanda), ambaye alisema taarifa hizo za AllAfrika ni za uzushi wa hatari uliofinyangwa na makachero wanaofanya kazi kwa maslahi ya Serikali ya Rwanda. 



Mbali ya Twagiramungu, pia Dk. Theogene Rudasingwa ambaye alitajwa na News of Rwanda kuwa alikutana na Rais Kikwete, katika mahojiano yake na MTANZANIA Jumapili kwa njia ya simu akiwa nchini Afrika Kusini, alipuuza taarifa hizo na kudai kuwa ni mkakati wa Serikali ya Rais Kagame kutaka wapinzani wake wafungwe.



MTANZANIA Jumatano lilifanikiwa kuzungumza na Ofisa Habari wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Ushirikiano wa Kimataifa, Mkumbo Ali, ambaye alisema hafahamu kama Membe alikutana na Dk. Rudasingwa.



“Kwakweli sina uhakika na hilo na sifahamu kama kuna siku Membe alikutana na Dk. Rudasingwa,” alisema Mkumbo.



CHADEMA YAJITOSA 



Wakati huo huo, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kupitia kwa Waziri Kivuli wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Ezekiah Wenje, ambaye pia ni mbunge wa Nyamagana wamejitosa kwenye chokochoko hizo za Rwanda kwa kuishauri Serikali ya Tanzania kutafuta jinsi ya kulimaliza suala hilo.



Mbali na ushauri huo pia, Wenje aliishauri Serikali kuhakikisha Waziri Mkuu wa zamani wa Rwanda, Faustin Twagiramungu anaiomba radhi Tanzania.



Wenje amemtaka Twagiramungu aombe radhi baada ya kunukuliwa na mtandao maarufu wa habari za Afrika wa AllAfrika, akisema katika kile kinachoelekezwa kuwa ni mkutano wa ndani uliofanyika katika mji wa Lyon nchini Ufaransa, jinsi alivyosafiri kwa siri kuja Tanzania na kukutana na Rais Kikwete.



Wenje alieleza kushangazwa na kauli za Twagiramungu kukana kukutana na Rais Kikwete, wakati kuna video ambayo inamuonyesha akizungumza nchini Ufaransa akieleza namna alivyosafiri kwa siri kuja Tanzania.



“Tunaiomba Serikali imtake huyu Twagiramungu aombe radhi kutokana na kauli zake, pia apewe barua ya ‘official demand aje open clearly’ na kutueleza ni kwanini anakanusha, wakati kuna video iliyokuwa inamuonyesha akizungumza hayo.



“Pengine watu wa aina ya kina Twagiramungu ndio wanaosababisha migogoro hii kwa maslahi yao binafsi, sasa tunaomba aje akanushe na aombe msamaha,” alisema Wenje.



Aidha Wenje alisema idara ya uhamiaji ni moja ya idara zilizooza hapa nchini, ambapo alihoji kuwa inawezekanaje hao waasi watumie hati ya kusafiria ya Tanzania wakati ni kinyume na mkataba wa Umoja wa Afrika (AU).



Katika kutaka suluhu ya mvutano huo, Wenje alipendekeza Bunge kupitia Kamati yake ya Mambo ya Nje, liunde kikundi kidogo kitakachopewa jukumu la kulizungumzia tatizo hilo na kufikia suluhu, kwani Watanzania wa kawaida hawajui tatizo la mgogoro.



“Sisi Chadema hatutaki kuona nchi jirani ya Rwanda inaingia katika mgogoro na Tanzania, ikumbukwe kuwa vita ni vita hata kama ni kidogo inaweza kuathiri kiuchumi na kijamii. “Tunajua leo ikitokea vita Rais hataumia atalindwa kwa mitutu ya bunduki, lakini atakayekuja kuumia ni Mtanzania wa kawaida, ni vyema tukaimarisha uhusiano wetu na hizi nchi jirani,” alisema Wenje.

Ibitekerezo byerekeranye n'inkuru byavuye kuri MPEKUZI HURU yari yatangaje iyi nyandiko ya Mtanzania ku rubuga rwayo


Nani asiyejua kwamba Rwanda inanuka damu yao wenyewe? tusikubali kuingizwa kwenye dhambi zao za kubaguana, hakuna kiongozi mwenye akili timamu anaweza kusupport huu upuuzi wa Serikali ya Rwanda na ndg zao waasi ambao leo hii jeshi letu linawaondoa huko DRC. Ushauri wangu, akili zetu zijikite zaidi kwenye mambo ya maendeleo maana ulimwengu wa sasa ni maendeleo na si porojo wala vita. Tanzania ni nchi kubwa watu wake wanahitaji kuhudumiwa mambo ya maenedelo na si porojo za Rwanda na ndg zake hao waasi. Nasema wote hao wananuka damu za ndg zao ole wao!
Reply · 1 · 
Ni vema viongozi wa serikali ya Tanzania wakaangalia na nyuma ya pazia la kagame. Hiki kiburi anakipata wapi?
Reply · 1 · 
 · February 5 at 9:51am
    • https://fbcdn-profile-a.akamaihd.net/hprofile-ak-prn2/t5/273734_100002167959624_431416619_q.jpg
Pamoja na support ambayo anaweza kuwa nayo, lkn pia tusisahau historia inavyotuonyesha kwamba watu hawa wanapenda sana kuonekana ni bora kuliko wengine, na ndo maana walifikia hatua ya kubaguana na mwishowe kuuwana. Sasa dhambi hii wanaendelea nayo na wanataka kuitawanya Africa mashariki. Lkn wasikupe hofu ndg yangu Robert Mbakile wepesi hao. Siku zote mfa maji hakosi kutapatapa! hayo ndo ya Kagame na ndg zake.Najua Tutafika tu!!
Reply · 1 · 
 · February 6 at 5:28am
  • https://fbcdn-profile-a.akamaihd.net/hprofile-ak-ash2/t5/1116773_727181979_572993713_q.jpg
vita sio nzuri ila tusiwe tayari kuzushiwa vitu kama si kweli kinachozungumzwa basi tusiwaruhusu kutuzoeazoea.
Reply · 1 · 
  • https://fbcdn-profile-a.akamaihd.net/hprofile-ak-prn1/t5/211270_100007001679867_2088559106_q.jpg
Naona kagame analake jambo na nchi yetu haiwezekan awe anatuchokonoa kila wakati anatafuta chanzo cha mvurugano ambalo c jambo la busara kwa mtu mkubwa msomi kama yule ambaye n kiongoz wa nchi anafanya mambo ya kipuuz tena ya kitoto haifai tuishi kama ndugu na sio kama maadui
Reply · 
  • https://fbcdn-profile-a.akamaihd.net/hprofile-ak-ash2/t5/1118817_100001070901814_879121090_q.jpg
Nahisi tumekosa vya kufanya ya kwetu yanatushinda huku tulinde mipaka yetu baaasi. Tanzania ndo baba sasa mama mbona anakua na kiburi ivo na anataka kumtawala baba. 
Reply · 
  • https://fbcdn-profile-a.akamaihd.net/static-ak/rsrc.php/v2/yo/r/UlIqmHJn-SK.gif
wenje wachana na jitu shenzi hiro toka aingie madarakani ni rwanda ya matatizo tu na ukiliende keza atutakueleweni chadema hii ni mara ya pili kwanza dr slaa na wewe wa pili huyo ni kibaraka wa museven
Reply · 
  • https://fbcdn-profile-a.akamaihd.net/hprofile-ak-ash2/t5/1086513_100002423493853_1766398767_q.jpg
Kama alivyo sema Mh Wenje idara ya Uhamiaji wamesinzia sana.Ingekuwa Makini mambo ya ovyo yasige tokea
Reply · 
  • https://fbcdn-profile-a.akamaihd.net/hprofile-ak-ash3/t5/41449_100001208708604_2065_q.jpg
Kagame ananuka Damu na hakika itamrudia tu.
Reply · 
  • https://fbcdn-profile-a.akamaihd.net/hprofile-ak-frc1/t5/275374_100001914688627_1387589569_q.jpg
kagame ajitambui na matatizo makubwa.
Reply · 
  • https://fbcdn-profile-a.akamaihd.net/hprofile-ak-prn2/t5/275660_100003512275248_786419612_q.jpg
Kumbe some times Wenje ana akili
Reply · 
  • https://fbcdn-profile-a.akamaihd.net/hprofile-ak-prn2/t5/1117018_100005729864080_358822704_q.jpg
kagame hana hakili kweli
Reply · 

-----------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------

Maoni( ibitekerezo) /Mtanzania  

0#6 Maboyi Bertrand 2014-02-05 16:08
Rwanda haina shida na wa Jirani, Changamoto ni kuheshimiana na kua na Ujirani mwema.
Kwani kila kukicha naona habari mitaani za kuchafua sura ya Raisi wa Rwanda hapa Daresalam??Siti sheni hivyo Raia tunataka amani na Maendeleo tu.
Na lazima kama nchi jirani, tambueni historia ya Rwanda, yaani Watu waliofanya mauaji ya halaiki, Rwanda haiwezi kuzungumza nao, na wasiwadanganye, wanyarwanda wote wanawapenda na wanawaheshimu wa Tanzaniya.
Simamisheni kuchoches chuki, tangazeni habari nzuri kuhusu kila upande kwani tunazo kibao jameni
Nukuu
+1#5 isack malando 2014-02-05 13:34
Huyu kagame kitu gani kinamfanya kuwa jeuri? anatuchukulia poa eh! kama vp Baridi tu.
Nukuu
-1#4 joseph 2014-02-05 13:01
sina huakika juu ya hili lakini nimekuwa nikifuatilia vyombo vya habari nini shida ya tanzania na rwanda,kagame katoa maneno makali kwa rais wetu kupitia vyombo vya habari lakini tumekuwa kimya bila kusema kitu,wakuu wa nchi watuambie kwani hatuna haja ya kutupiana maneno yasiyo na tija kwa taifa letu.tuko na amani na tunaitaji milele,Rais usikubali kamwe watu kukuingiza kwa vita bila sababu yoyote,MUNGU IBARIKI TANZANIA
Nukuu
0#3 Kachala 2014-02-05 10:36
Tunafahamu Kagame ni mvurugaji wa majirani zake kwa masilahi yake, kwa hiyo si shangai kwa hilo. Naomba serikali iwe macho na wanywaranda wanoishi nchini kwani tumeona jinsi mauaji ya kisiasa ya wapinzani wake ambao kabla walikuwa marafiki yanavyofanyika. Kwa hiyo ni mtu wakumchulia kwa tahadhari.
Nukuu
0#2 petro wa petro 2014-02-05 10:25
waasi wa rwanda wanao uwezo wa kusafiri toka sehemu moja kwenda sehemu nyingine na wanaungwa mkono na baadhi ya nchi africa na ulaya, muhimu Tanzania isikubali kuwa kichocholo cha wao kufanikisha malengo yao ya kisiasa, na pia isipuuze yanayosemwa kwa kukanusha tu, ni vyema kuchunguza na kuchukua maamuzi kuliko kulifanya jambo hili kuwa la kisiasa,
Nukuu
0#1 Steve Gamaliel 2014-02-05 07:39
Tanzania inabidi vioongozi husika wajikite kuangalia kwa makini kwanza ili kubaini what is behind hizi choko choko zao na kiburi wanatoa wapi,huku wenyewe Tanzania tuwe makini na kila tunachofanya na kuki document kisionenye kuwepo kwa uthibitisho wa chokochoko hizo
Nukuu

No comments:

Post a Comment

Muvandimwe, nshuti ya SHIKAMA, turagushimira cyane umuganda utanga wo kubaka URWANDA rushya ubinyujije mu bitekerezo byawe( Komanteri). Kugirango turwanye urukungu rw'Agatsiko ni ngombwa ko buri komanteri ibanza gusuzumwa. Yohereze, irahita ijya ku rubuga mu minota mike niba idatandukira( kuvuga ibitajyanye n'inyandiko), itukana, cyangwa yuzuyemo uburere buke.

Wipfusha komanteri yawe ubusa ukoresha "ANONYMOUS", himba izina urikomeze kuko hari ibihembo mu Kuboza 2016 ku bantu 3 bazaba babaye indashyikirwa mu gutanga ibitekerezo. Dukomeje kubashimira ubwitange n'umurava muhorana. IMANA Y'I RWANDA ihorane namwe iminsi yose.

Dg NKUSI Yozefu
www.shikamaye.blogspot.com
Uharanire ko Ukuri gusimbura ikinyoma.
Email: mahoriwacu@gmail.com; tel: +4745564355